Mpendwa jm tumsifu yesu le kristo,,find attached pics nasoma mwananchi leo najiuliza hozi timuzapolisi zinaachalini kupiga waamuzi,,pili sheria zinasemaje niliona yanga waliadhibiwa vilivyo lakini hawa jamaa kila mkoa wanatembeza kipigo nabado zinqendelea kuchezq nani anawalinda hawa mkuu wangu jm,sikunjema
q
q