Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera uongozi wa uwanja wa Sokoine wa Mbeya.

Sidhani kama patakuwa na binadamu timamu ambaye hatafurahia na maamuzi waliyoyachukuwa viongozi wa uwanja wa Sokoine wa Mbeya wa kuwasikiliza watazamaji/viongozi wa Azam TV kuhusiana na kero iliyokuwa...

View Article


Timu yangu Simba yasuasua

Washabiki wenzangu hebu tujadili hili tumecheza mechi 4 nakuambulia point4 ingawa hatujafanikiwa kupoteza bado lakini tukumbuke tayali tumepoteza point8 hadi sasa katka michezo minne ambayo tayali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Edson Cavani gun shot celebration

hii imekaaje?! Edson Cavan jana alitolewa nje kw red card wakati timu yake PSG ilipochomoza na ushindi wa goli 3 kwa 1 dhidi ya Lens, kisa chenyewe ni kushangilia kama m2 anayepiga risasi(firing a gun)...

View Article

Mtu huyu Eddo Kumwembe

Huyu Eddo Kumwembe. Huyu Edo Kumwembe jinsi anavyonikoroga mimi katika makala zake Fulani Fulani ni hivyo hivyo angemkoroga na Advocate Kumwembe, nimeisha muonya mala nyingi lakini mbishi, hasa katika...

View Article

Yanga na simba shs ngapizimepatikana

nauliza tff ni shs ngapi imepatikana mbona kimya wakati tunatumia mtandao wa kununua tiketi na zimeanza kuuzwa toka j3

View Article


Mapendekezo ya kuwepo kwa ratiba ya mechi mbalimbali

Mod pamoja na wadau wengine wa jukwaa hili., binafsi napendekeza pawepo na ratiba ya mechi mbalimbali zinazochezwa ulimwenguni pote kwa kila siku. Kama si mechi zote basi ratiba ya zile ligi pendwa...

View Article

Huko mbozi mchezo wa kimondo na tesema wavunjika

(MCHEZO UMEVUNJIKA KWA KUJAA MAJI UWANJANI INDABA AFRICA: MCHEZO WA KIMONDO NA KMC AMA TESSEMA WAVUNJIKA, NI BAADA YA UWANJA KUJAA MAJI IMEANDIKWA HUKO

View Article

Kwa uchambuzi huu wa makocha VPL Tanzania bado tunasafari ndefu.

Mechi ya jana ya VPL nilisikiliza michezo makocha wa timu mbili Tz Prisons na wa JKT Ruvu walihojiwa, Kocha wa TZ Prisons ambaye jana alifungwa goli mbili alipoulizwa kwa nini amefungwa akaji "golikipa...

View Article


Yanga na Simba kiasi gani kimepatikana

nauliza tff ni shs ngapi imepatikana mbona kimya wakati tunatumia mtandao wa kununua tiketi na zimeanza kuuzwa toka j3

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchezo wa Kimondo na Tessema wavunjika

waamuzi wa mchezo huo wakiwa na team captains wa timu zote mbili Shabiki wa Kimondo akiogelea kwenye madimbwi ya uwanja huo baada ya mchezo kusimamishwa kutokana na maji kujaa Meza ya mwamuzi ikiwa...

View Article

Soka la bongo tuna cha kujifunza kutoka bongo fleva

habari Ni weekend naangalia tamasha la fiesta nashauku ya kumwona msanii maarufu kutoka US, TI zamu ya TI ikafika akafanya vitu vyake akamaliza, ndio show ilikuwa nzuri ila sikuona tofauti na wasanii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bingwa wa tenisi akerwa kuitwa ''kaka'

Serena Williams Bingwa wa mchezo wa tenisi kwa upande wa akina dada duniani Serena Williams amekosoa matamshi aliyoyataja kuwa ya kibaguzi na kutojali ujinsia yaliotolewa na rais wa shirikisho la...

View Article

Ajinkya Rahane seeks consistency to secure India spot

Cricketer Ajinkya Rahane has said he is working towards attaining greater consistency and is looking to convert starts into big scores to secure his place in the Indian squad. Opener Rahane scored a...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndanda wamtimua kocha Denis Kitambi

Ndanda FC imemfuta kazi kocha wake, Denis Kitambi. Uongozi wa klabu hiyo umechukua uamuzi huo baada ya vipigo viwili dhidi ya Mtibwa Sugar na kile cha nyumbani jana dhidi ya Ruvu Shooting. Taarifa...

View Article

Jaja apiga shuti moja tu dakika 82

Mshambuliaji ghali wa Yanga, Mbrazili, Geilson Santos ‘Jaja’, juzi Jumamosi alicheza mchezo wake wa nne wa Ligi Kuu Bara alipokutana na Simba kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, lakini alishindwa...

View Article


Maximo Jaja ni Mimba ichechetue kabla aijakuzalisha wazo tu(

Wengne wengi awapendi ukweli Lakini ukweli wa huyu mchezaji Jaja ni huo Hii ni mimba ambayo kama anasubiri itamzalsha mtoto mwenye Ebola...ni bora kabla ukaamua kuichechetua kabisa kabisa Cheki naame...

View Article

Taarifa ya TFF kuhusu mapato ya mechi ya Yanga vs Simba

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba iliyochezwa juzi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 427,271,000. Washabiki 49,542...

View Article


Kifaa kipya cha simba hiki hapaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

View Article

Kuna Harufu Mbaya (smell of fishy) Mapato ya Simba na Yanga

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba iliyochezwa juzi (Oktoba 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 427,271,000. Washabiki 49,542...

View Article

Shaffi ajirekebishe

Nashindwa kumwelewa huyu shaffi dauda amekuwa na tabia ya kubeza tu na kushadidia vya nje bila ya kuwa na ulinganifu na kwa kuwa amepewa forum ya kusema tu anaitumia vibaya sana kukandia wengine bila...

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live