Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live
↧

Polisi Morogoro vs Yanga live updates

Leo tarehe 24/01/2015 vpl polisi morogoro vs yanga. utapata kila kitu kutoka uwanja wa Jamhuri morogoro, mkolaj ndo nitahusika kwa kushirikiana na cnjona na makoye matale.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

News Alert: Ronaldo Splits With Supermodel Girlfriend Over Birthday Snub

Cristiano Ronaldo may be a winner on the pitch — he won the 2015 FIFA Ballon D’Or — but he is now a loser at love. According to a report from the UK Daily Mail and Portugal’s Correio de Manha, Ronaldo...

View Article


Nisaidieni kwa hili,mchezaji kujifunga goli 3

Hivi kujifunga goli 3 nayo itaitwa hat trick? Je, aliyejifunga magoli hayo ataondoka na mpira? Nawasilisha

View Article

Hans Poppe acha uongo

kwa utaalamu wangu picha anaedai amis tambwe kuwa alimpiga kibao beki katili ni uongo.kwanza angalia mikono ya tambwe mkono mmoja hauonekani pili wapo sambamba hicho kibao atampigaje beki katili kwa...

View Article

VPL: Simba SC Vs Azam FC

wadau karibuni uwanja wa taifa kuona mechi kali tangu mwaka 2015 uingie vijana wa unyamani simba sc watakipiga na kinara wa ligi kuu Azam fc wana lambalamba, vijana wa simba chuo cha soka Tanzania...

View Article


TFF na vichekesho

Wana body katika hali inayo onekana ni vitimbwi vya mwaka TFF wameibuka na mchezo wa soka wa kando ya pwani (beach soccer) wakati hilo football limetushinda na kila kukicha tunaboronga.tuchangie

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Utukutu wa Mario Balotelli, uliyajua haya kumi?

1.Alitozwa Dola 400,000 (zaidi ya shilingi 700,000,000 ta kitanzania) kwa kwenda kwenye klabu ya uchi siku moja kabla ya mechi 2. Akiwa kwenye gari aina ya Bently, Januari mwaka 2012, Baloteli...

View Article

Live Updates:Mbeya City vs Prison

kwa mara nyingine Mji wa Mbeya umekuwa busy na shangwe nyingi sana,hii ni kawaida pale zinapokutana timu hizi mbili kutoka jiji la mbeya.Mashabiki wengi sana wanaipa sapoti timu ya Mbeya City na...

View Article


Ivo Mapunda ni Golikipa wa penati?

Kwenu wana simba.... Swali langu hilo

View Article


Washambuliaji wa VPL wanauza mechi

Nkumbuka alisema maximo wakati anaondoka akaulizwa mbona unapendasana washambuliaji tokanje akajibu wengiwanauza timu nilikuwepo nanawajua vyema,,bora timu ikatumiagarama kununua washambuliaji. Name....

View Article

Ngasa kwenda afrika ya kusini ni sahihi

nimesoma gazeti moja kuwa kuna habari ngasa ameenda afrika kusini kufanya majaribio. mimi nampa tano lakini uongozi wa yanga unadai kuwa hauna habari eti ikibainika kama kweli itampa adhabu. nyie...

View Article

Ngasa alipofushwa na ujinga ule ule wa miaka yote ya wachezaji wa Kitanzania.

Huu ni ujinga wa wachezaji wengi wa kitanzania ambao bado hawajafahamu kuwa mpira ni kazi kama kazi nyingne yoyote ile. hawa huwa wanaweka mapenz ya team zao mbele wanasahau siku nazo hazigandi. Ngassa...

View Article

Utakumbukwa Sports Xtra Maestro

Kuhama kwa IBRAHIM MAESTRO kuhamia EF sport itakuwa nipengo kubwa sana clouds fm katika kipindi cha michezo Maestro alikuwa mchambuzi Wa michezo katika Redio Na TV clouds ambae alifanya kazikubwa sana,...

View Article


News Alert: Uwanja wa mechi ya Zambia na Cape Verde ni aibu kwa Afrika

Naagalia hii mechi kati ya Zambia na Cape verde yaani ni aibu tupu mvua inanyesha na uwanja umejaa maji hata radha ya mpira hamna. Hivi kwa nini mechi isiahirishwe ili kulinda heshima ya Afrika? kwani...

View Article

Jezi mpya za Taifa Stars

Jamani wana michezo, Nakumbuka kulikuwa na mchakato wa ubunifu wa jezi mpya za Taifa Stars, ulioanza November, 2014. Ningependa kujua zoezi hili limeishia wapi hadi sasa January, 2015. Mimi niko zangu...

View Article


Juma Matokeo (marehemu) mid-field myestro

Alikuwa anachezea yanga miaka ya 1975-80 akitokea Tumbaku yaMorogoro,sijaona mchezaji mahili kama yeye , hajawahi kutokea, alikuwa na dribblingza kipekee , alikuwa anapendeza kumwangalia. Ile mechi ya...

View Article

king'amuzi cha Azam

Wadau tafadhali nijulosheni. Eti nikiwa ma king'amzi cha Azam nitapata chanel ya mieleka?

View Article


Simba mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu

Juz TAMBWE kafanyiwa vbaya na wale mijida Simba wakasema yanga wagangamae,leo viongoz wa simba hao hao wanaitaka TFF imchukulie hatua Aggrey Morris kwa kumpga kiwiko Okwi,wamesahau matusi yao kwa yale...

View Article

Sammy Kufour umeniacha hoi sana leo

Kabla ya MECHI YA SAFRICA NA GHANA AKIWA OFISI ZA SS3 ALIULIZWA UNAONAJE MECHI YA LEO ,AKAJIBU AKUNA TIMUPALE YA KUIFUNGA GHANA,,NA MKISHINDA SAFRICA NIKO NA MASHINE HAPA NANYOA NDEVU NA NYWELE...

View Article

SuperBowl XLIX

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live