Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live
↧

rage: mapinduzi ya leo simba ni wahuni tu walikua wanakunywa kahawa

katika hali ya kushangaza mbunge wa tabora alipoulizwa ana maoni gani juu ya maamuzi ya mkutano mkuu alidai hao ni wahuni tu walikua wanakunywa kahawa na kutoa maamuzi ya kujifurahisha ndio maana...

View Article


mechi 7 goli 8...Super Mario Balotelli...

katika hali ya kuwasuta mahasidi, Mshambuliaji mwenye uwezo wa ajabu ambaye anaweza kufunga magoli ya aina zote na yenye ladha Super Mario Balotelli hapo jana aliweza kuisaidia klabu yake kipenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

La liga all result match round 28

Attached Thumbnails        

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Real madrid vs barcelone season 2009/2013 la liga

Hii ni la liga toka c.ronaldo awepo katika timu ya real madrid Attached Thumbnails  

View Article

Arsenal tutaitoa relini spurz

Wale washika bunduki wenzangu msihofu pengo la point 4 toka kwa totenham. Bado 2na kiporo, tukishnda inabak point moja ambayo naamin kwa game ngum walizonazo totenham kuanzia swansea,evaton,mancity had...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbwana Samatta: Mchezaji wa kujivunia Tanzania.Angalia goli hili alilofunga...

Huyu mchezaji akiongeza bidii kwa kweli atafika mbali sana. Hii ni aina ya wachezaji adimu sana hapa Tanzania. Attached Thumbnails  

View Article

Ncca basketball march madness

Heshima kwenu basketball fans all over the world,,, March ndo hiyo imeshasogea na Basketball competition yenye ushindani kuliko zote duniani ndo inaanza kuchanganya.. ESPN haikaliki sasa, USA yote ipo...

View Article

Hello sportsmen...!!!

Excited to join you here today..! Hope we gonna have great moment A joke question; "whos better between Emanuel Okwi vs Mbwana Samatta" Its my first day here chears!!!!

View Article


News Alert: TFF yasalimu amri ya serikali

HATIMAYE Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limelazimika kukubaliana na maagizo ya Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo juu ya sakata la...

View Article


setanta channel

hivi hawa setanta wa star times kuna mechi yoyote ya live wanayo onyesha aua zao ni kuonyesha mechi za zamani tu?. naombeni kujulishwa!. mia

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FC Barcelona, Messi and Iniesta acknowledged by the IFFHS

The International Federation of Football History and Statistics (IFFHS) named FC Barcelona the best team of 2012 Messi and Iniesta, were named World's Best Goalscorer and the World's Best Playmaker,...

View Article

Je ni lini CRDB itaanza kuuza tiketi za mechi?

Kumekucha na makucha yake. Nakumbuka benki ya CRBD ilishinda zabuni ya kuuza tiketi za mechi za timu ya taifa kupitia mfumo wa eletroniki. Mfumo ambao utahakikisha hakuna tiketi bandia au kukosekana...

View Article

News Alert: leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka...

March 21 mwaka 1980 Mzee Joao Moreirra na Mkewe Bi Miguelina de Assis walifanikiwa kumzaa mtoto ambaye baada ya miaka kadhaa kupita alifanikiwa kuja kuwa Nabii wa mwisho wa kizazi cha Soka ulimwenguni....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uandishi uchwara!

MWANANCHI, NIPASHE, HABARI LEO, a bunch of cr@p.

View Article

Zali La Mentali Linaweza Kuiangukia Taifa Stars kombe la Dunia

Ukichunguza vizuri ratiba ya mechi za kuwania kufuzu kombe la dunia kwa bara la Afrika utabaini mambo mawili.Mosi,hatua ya makundi ndiyo ngumu zaidi hasa kwa kuwa ni timu moja tu ndiyo itafuzu kwa kila...

View Article


News Alert: Ridhiwani Kikwete awa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi

Ridhiwani kikwete ameteuliwa na mwenyekiti wa klabu ya Yanga Bwana Manji kuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi ya klabu hiuyo. Pia amepewa mamlaka ya kuteua wajumbe atakao wahitaji katika kuongoza kamati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali yasalimu amri kwa TFF

Thursday, March 21, 2013 Rais wa shirikisho la Soka nchini TFF,Leodgar Tenga (katikati) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam jana Hatimaye mgogoro baina ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani Kikwete ateuliwa mwenyekiti wa ujenzi wa kitega uchumi cha klabu ya...

Ridhiwani Kikwete akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kutambulishwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa eneo la Mafia Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans Sports Club alhaj Yusuf Manji...

View Article

News Alert: Yaya Toure Kuikacha Manchester City?

Yaya Youre anasema ataikacha klabu hyo asipopewa mkataba mpya. Hii ultimatum inatokana baada ya kukwama kwa mazungumzo hayo baada ya miezi sita sasa. Akiongezea kwa hapo, agent wake, Dimitri Seluk...

View Article

Bet

Ku BET Inaamana gan

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live