Cristiano Ronaldo, Ribery na Lionel Messi ndio wamebaki katika list ya wachezaji 23 waliokuwa wamechaguliwa kugombea. Mchezaji bora atatangazwa 06 Jan 2014.
Utabiri wangu ni Cristiano Ronaldo. Toa utabiri wako.
Utabiri wangu ni Cristiano Ronaldo. Toa utabiri wako.