Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live

DAVID MOYES angekuwa kocha wa Simba au Yanga...

Hivi tunajifunza namna ya kumheshimu kocha? Kibadeni,Julio ,Basena na wengineo wengi walipewa nafasi kama anayopewa David Moyes? au hatujifunzi kitu hapo?

View Article


special analysis: MANDELA Vs MAN UTD

MANDELA vs MAN UNITED Mandela alikaa jela miaka 26 Man u alikaa miaka 26 bila kombe la ligi Mwaka 1990 Mandela anakua huru Mwaka huo huo man akachukua fa cup na hilo lilikua kombe lake la kwanza tangu...

View Article


tumemalizana na Ivo Mapunda: Hans Mapunda

" nipende kuwafahamisha Watanzania na wanasimba kuwa tumemalizana na Ivo Mapunda"-Hans Pope

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

News Alert: Brazil football season ends in violence as fans brawl

A violent brawl broke out between rival fans Continue reading the main storyRelated StoriesViolence at Brazil football matchWatch2014 Fifa World Cup draw & fixtures The Brazilian football league...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Drogba na Eboue kuadhibiwa kwa kumshukuru Mandela

Chama cha Soka cha Uturuki kimewaita wachezaii wawili wa Ivory Coast, Didier Drogba and Emmanuel Eboue ili kuwaadhibu kutokana na kutenda kosa la kuvaa na kuonyesha uwanjani nguo zinazomkumbuka na...

View Article


FIFA FOOTBALLER OF YEAR 2013/2014: Tatu bora hawa hapa.

Cristiano Ronaldo, Ribery na Lionel Messi ndio wamebaki katika list ya wachezaji 23 waliokuwa wamechaguliwa kugombea. Mchezaji bora atatangazwa 06 Jan 2014. Utabiri wangu ni Cristiano Ronaldo. Toa...

View Article

News Alert: Arsenal: The season so far

http://m.youtube.com/watch?v=A4pUs4Pu1cQ here is a little Youtube video I found on the season so far. Really good watch.

View Article

Mechi ya Kilimanjaro Stars dhidi ya Harambee Stars ni saa ngapi?

Tangu jana wapenzi wa mpira tulijua mechi hii inachezwa saa nane kamili. Mpaka sasa hatuoni kinachoendelea. Utachezwa muda gani? Mnisaidie ndugu zangu.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha:Ingekua kwa wenzetu huyu dogo angeshapata 'SHAVU'

Hapa dogo kakosa mpira kaamua kutumia nazi kama mpira. Nimeambiwa umri wake ni mwaka1 na miezi 5 tuu! Lakini anapiga mashuti ya hatari! Attached Thumbnails    

View Article


Zambia Hoi!

Zambia imetolewa na Sudan katika michuano ya Senior Challenge Cup inayoendelea katika hatua ya nusu fainali kwa mabao 2-1. Kilimanjaro Stars na Harambee Stars mchuano ulitakiwa uanze saa 12 jioni hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Manchester United haitetereki

Kwa wale wanaotegemea haitakuwemo hata katika top 4, wajue kwamwe utd haianguki kama flag inavyoonyesha hapa chini

View Article

Hivi..???

Hivi watu bado hawajaihama tu man utd maana me naona wanapata tabu kweli yaani

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hii piccha ya yanga na simba imenchekesha sana ione?

Attached Thumbnails  

View Article


News Alert: man city yafanya maajabu

yamtungua bayern 3 kwa 2 huko huko germany

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hasheem Thabeet naona Oklahoma namba yake imeshachukuliwa na yoso

Tulijadili sana kuhusu huyu kijana siku za nyuma huko na kujaribu kumshauri ajitahidi kujituma, sasa hali halisi katika timu yake ni kuwa bench kila mechi maana namba yake imechukuliwa na yoso mmoja...

View Article


Manji:sitagombea uongozi yanga hapo mei

yusuph manji wa yanga ameyasema hayo jana baada yakudumu katika ngazi tofauti tofauti za uongozi ndani ya yanga kwa muda unakadiriwa miaka tisa Nimeamua kuachia ngazi kupisha na wengine wagombe kwa...

View Article

Utamaduni huu wa CECAFA unaua soka.

Asiyekubali hili hajui soka kwamba mchezo sio dakika 90 tu huwa unachezwa kabla ya hapo. Imekuwa tabia ya CECAFA nchi inayoandaa bonanza lake kuwa bingwa na hivi sasa Kenya atachukua ndoo hiyo. Kwa...

View Article


Leo ni JUMATANO: Wanachama wa SIMBA wamefika BUNGENI????

JF Salaam, Wanachama wa Simba Sports Club (SSC) leo jumatano walisema watakwenda Bungeni Dodoma kumshitaki M/Kiti wao Mh Ismail Aden Rage kwa Spika wa Bunge. Hawa wanachama wamekwenda au bado wako Dar???

View Article

Kwa tff na wapenda michezo tz!!

Kulingana na hali halisi iliyotokea katika mashindano haya ya CECAFA yanayoendelea, ninawashauri TFF na wapenda michezo wote wa Tanzania, tujitoe CECAFA na kujiunga COSAFA, sababu mnazifahamu nanyi...

View Article

Channel za HD zinatisha

Wakuu naamini kabisa wengi wetu tuna tizama mpira kwa luninga na nizile channel za kwaida sasa embu jaribu HD channel nautaona tofauti yake...unacho hitaji ni decoder ya PVR

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live