Baada ya Yanga kuinyanyasa Comorozine de Domoni ya Comoro kwa magoli ya 'week' nzima; leo ni zamu ya Azam kukutana na Ferroviario ya Msumbiji katika uwanja wa Azam Complex. Wakati huo huo baada ya Simba kushikwa shati na Mtibwa Sugar, leo ipo Mkwakwani kukipiga na Mgambo Shooting. Naomba tushirikiane kupashana updates.
Azam 1-0 Ferroviario FT
Mgambo 1-0 Simba FT
Mbeya City 2-1 Mtibwa FT
Rhino 0-1 Coastal Union FT
Azam 1-0 Ferroviario FT
Mgambo 1-0 Simba FT
Mbeya City 2-1 Mtibwa FT
Rhino 0-1 Coastal Union FT