Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live
↧

News Alert: Nguvu ya mbeya city ni siasa tu ....

Nilikua natafakari vijana wa mbeya city wanavyojituma mwanzo wa gemu mpaka mwisho .....nimegundua ni siasa ndo inaibeba hiyo timu ..mbeya mjini ni jimbo linalotawaliwa ba chadema at the same time ccm...

View Article


TFF hatuhitaji sherehe, tunahitaji kucheza kombe la dunia.

Tumesikia TFF eti wanaandaa sherehe ya kutimiza miaka 50 tena kwa kujiunga na FIFA sio ya kuanzishwa kwake! Hii ni fedheha tu kwa wapenda soka hapa nchini, hivi inatusaidia nini sherehe hii? Mie sioni...

View Article


Chelsea inaweza kutwaa ubingwa wa EPL msimu huu??

Ni jumatatu iliyo pita chelsea iliivunja rekodi ya Man City ya kutokufungwa katika uwanja wake wa Etihad na kuacha gumzo kubwa England baada ya timu ya Man City kufungwa mara mbili na Chelsea. Makocha...

View Article

Kipima Joto ITV: Jamali Malinzi akimbia Kipindi

Nimesikitishwa sana kipindi kinaendelea sasa na mada kuu inamuhusu yeye lakini hayupo, yupo Tarimba tuu MADA "Siku 100 za uongoz mpya wa TFF kuingia madarakan, Yap mafanikio na changamoto zilizopo!"...

View Article

point 3zetu kwa liverpool kesho swafiiiii

Liverpool kesho tunawapiga vidude

View Article


Kwa kauli hii ya Mourinho kuvunja daraja kwa mtutu is 'inevitable'

We love the big games..."two horses and a little horse that still needs milk and to learn how to jump.Mourinho tunakushukuru kwa kutusaidia kukaa hapa juu lakini kutokana na dharau zako daraja...

View Article

Olimpiki ya msimu baridi yaanza Sochi

Mashindano yaliyo gharimu Kitita kikubwa zaidi katika historia ya Olimpiki yatafunguliwa Urusi leo huku medali 98 ziking'ang'aniwa katika siku kumi na sita. Sochi, ambayo iko katika pwani ya Urusi...

View Article

Malinzi: Ulikwenda kwa lowassa kufanya nini?

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, ana haki zote za kuwa na urafiki na mtu na kumsapoti katika jambo lolote lenye heri. Ili mradi havunji sheria za nchi, Malinzi...

View Article


Ngassa - 'Hamisi Tambwe ni bonge la mshambuliaji'

Hayo ni maoni ya Ngassa aliyoyatupia Acc yake ya Twitter! Kama yalivyonaswa ShaffihDauda blog! Wahenga huwa hawakosei! Kizuri kinajiuza!!kibaya .......!

View Article


Live updates; yanga sc vs komorozine de domoni. 08/02/2014.

Jeshi kamili la timu ya YANGA linashuka leo jioni kwenye uwanja wa TAIFA, kuifanyia mauji ya kufuru timu toka comoro. cc mandieta, watu8 Kitobu ndetichia WABHEJASANA Masuke na wengineo wote wapenda...

View Article

SSC NAPOLI vs AC MILAN

Ligi kuu ya nchini italia almaarufu Serie A inaendelea leo na Vilab vya SSC NAPOL na AC MILAN vinakutana leo kwenye dimba la san paulo mjini nepol. Kocha wa milan Clarence Seedorf anakwenda kukutana...

View Article

Liverpool vs Arsenal EPL 8/2/2014 Live Updates

Leo ni leo wakulu! Arsenal atabaki kileleni? UPDATES# Liverpool. 5 Arsenal 1 Skrtel 1 dkk1. Skrtel 2.dkk 10. Starling 3 dkk 16. Sturridge 4 dkk 19. Starling 5 dkk 52. Arteta 1 dkk 68 FULL TIME...

View Article

Brazilian striker Maicon killed in car crash

Aliyekuwa striker wa brazil maicon amefariki dunia kwa ajali ya gari.. =========== The 25-year-old Brazilian, who joined Shakhtar in 2012, had been on loan at top-flight rivals Illichivets Mariupol...

View Article


Liverpool vs Arsenal: Live Stream

Bonyeza Live Stream LINK

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

live Updates CHELSEA vs NEWCASTLE UTD now @ starmford bridge

here we goooo chelsea watafanya nn leo nyumbani . . #newcastle vs chelsea . 27min 1 goal = EDEN HAZARD . . 34 min 2 goal = EDEN HAZARD . . 49 min = Yellow card - Sammy Ameobi 61 min = yellow card -...

View Article


Chelsea vs Newcastle : Live streaming

Chelsea vs Newcastle : Live streaming

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kudos kenya,lakini tunataka taji kuu

IRB SEVENS RUGBY BOWL CHAMPIONS IN NEW ZEALAND MAIN CUP WINNERS N.ZEALAND PLATE WINNERS that was the world rugby sevens in new zealand winners pictures.lets met in japan next

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

News Alert: Ruaha marathon 2014- news update

RUAHA MARATHON 2014 Another big event in Iringa on 25th May, 2014 RUAHA MARATHON which going to attracts more than two thousand people Runners and observers. WHY RUAHA MARATHON? To create awareness on...

View Article

Chelsea itaweza kuifunga tena Man City Etihad katika FA cup 15/2/2014?

Tarehe 15 mwezi huu kutakua na mechi kati ya Man City na Chelsea ya FA cup katika uwanja wa Etihad. Huku chelsea ikiwa imeifunga Man City mara mbili Darajani na Etihad, swali ni kwamba chelsea itaweza...

View Article

Live Updates: Azam & Simba Matches

Baada ya Yanga kuinyanyasa Comorozine de Domoni ya Comoro kwa magoli ya 'week' nzima; leo ni zamu ya Azam kukutana na Ferroviario ya Msumbiji katika uwanja wa Azam Complex. Wakati huo huo baada ya...

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live