sisi ni timu ya mpira wa mguu iliyosajiliwa na msajili wa michezo chini ya''NATIONAL SPORTS COUNCIL OF TANZANIA ACT'' ya mwaka 1967 tarehe 05/10/2010 namba ya usajili ni Msc9606(nakala imeambatanishwa)
Tokea usajili wetu tumeshiriki ligi ya TFF mara tatu katika msimu 2010 mpaka 2012. tuna wasiwasi msimu huu hatutaweza kushiriki ligi ya TFF kutokana na kutokuwa na uwezo kwahiyo tunachukua nafasi hii ya pekee kuleta ombi letu kwa wadau mbalimbali wa soka kutusadia na kutushauri namna ya kuweza kutimiza adhima yetu ya kushiriki ligi kuu hii.
kama kutakuwa na uwezekanowa wa kutusadia vifaa vifutavyo
-jezi ya mpira
-viatu vya mpira
-madawa ya maumivu
-maji ya kunywa
-daktari
asanteni 0656015564 0754335845
Tokea usajili wetu tumeshiriki ligi ya TFF mara tatu katika msimu 2010 mpaka 2012. tuna wasiwasi msimu huu hatutaweza kushiriki ligi ya TFF kutokana na kutokuwa na uwezo kwahiyo tunachukua nafasi hii ya pekee kuleta ombi letu kwa wadau mbalimbali wa soka kutusadia na kutushauri namna ya kuweza kutimiza adhima yetu ya kushiriki ligi kuu hii.
kama kutakuwa na uwezekanowa wa kutusadia vifaa vifutavyo
-jezi ya mpira
-viatu vya mpira
-madawa ya maumivu
-maji ya kunywa
-daktari
asanteni 0656015564 0754335845