Ndani ya wiki mbili zilizopita, Kamati ya Usajili ya Simba SC imekua iki haha huku na kule kuleta washambuliaji mbalimbali kwa ajili ya kuja kufanya majaribio.. ili wakifanikiwa wawe miongoni mwa wachezaji wachache sana waliowahi kuitumikia timu bora kuwahi kutokea ukanda wa CECAFA, Simba SC.
Lengo la zoezi hilo lilikua ni kupata deadly straika [20+ goal's holder] wa kuongeza nguvu kidooogo katika safari yetu ya kuchukua makombe 4 + Ngao 1 ya Hisani msimu ujao.. makombe hayo ni;
1. Vodacom Premier League
2. Kombe La Shirikisho a.k.a FA Cup
3. Mtani Jembe 3
4. Kombe La Muungano
5. Ngao ya Hisani
Kati ya washambuliaji wote ni Kelvin Ndayisenga pekee ndiyo aliweza kuzikonga nyoyo za Benchi la Ufundi, Mashabiki n.k. Hii ilitokana na kiwango cha ajabu saaaana alichokionesha katika mechi ya majaribio.
Kiwango alichokionesha hakikuiacha salama kambi ya mtaa wa pili, kwani kiliwafanya wawe wanapiga dua mchana na usiku ili Kelvin asitue Msimbazi.
Mwanzoni ilionekana ni ngumu kutua, baada ya Kelvin kutaka day zito.. lakini sasa hali imebadilika kwani Uongozi umeamua kuvunja kibubu na kumpa kila anachotaka ili aje kuitumikia Simba SC.. na mda si mrefu atatua Bongo kusaini mkataba.
".. kwa ujio huu wa kelvin a.k.a tormentor nadiriki kusema ile jig-saw puzzle iliyokua ikitusumbua vichwa, sasa imekamilika rasmi.. na 12/09/2015 ifike mapema" ~ sembo
Kwa Matomaso: http://salehjembe.blogspot.nl/2015/08/simba-yaachana-na-wasenegali-yamrudisha.html?m=1
Lengo la zoezi hilo lilikua ni kupata deadly straika [20+ goal's holder] wa kuongeza nguvu kidooogo katika safari yetu ya kuchukua makombe 4 + Ngao 1 ya Hisani msimu ujao.. makombe hayo ni;
1. Vodacom Premier League
2. Kombe La Shirikisho a.k.a FA Cup
3. Mtani Jembe 3
4. Kombe La Muungano
5. Ngao ya Hisani
Kati ya washambuliaji wote ni Kelvin Ndayisenga pekee ndiyo aliweza kuzikonga nyoyo za Benchi la Ufundi, Mashabiki n.k. Hii ilitokana na kiwango cha ajabu saaaana alichokionesha katika mechi ya majaribio.
Kiwango alichokionesha hakikuiacha salama kambi ya mtaa wa pili, kwani kiliwafanya wawe wanapiga dua mchana na usiku ili Kelvin asitue Msimbazi.
Mwanzoni ilionekana ni ngumu kutua, baada ya Kelvin kutaka day zito.. lakini sasa hali imebadilika kwani Uongozi umeamua kuvunja kibubu na kumpa kila anachotaka ili aje kuitumikia Simba SC.. na mda si mrefu atatua Bongo kusaini mkataba.
".. kwa ujio huu wa kelvin a.k.a tormentor nadiriki kusema ile jig-saw puzzle iliyokua ikitusumbua vichwa, sasa imekamilika rasmi.. na 12/09/2015 ifike mapema" ~ sembo
Kwa Matomaso: http://salehjembe.blogspot.nl/2015/08/simba-yaachana-na-wasenegali-yamrudisha.html?m=1