Timu ya taifa ya Tanzania ilipoteza mchezo wake wa kirafiki dhidi ya Libya kwa magoli 2-1, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Kartepe1 nchini Uturuki.
Goli pekee la Tanzania lilifungwa na John Bocco.
![]()
Goli pekee la Tanzania lilifungwa na John Bocco.
