Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Viewing all articles
Browse latest Browse all 5565

Hivi CECAFA kupeleka kituo Darfour walikusudia?

$
0
0
Nilikuwa natafakari uamuzi wa CECAFA kupeleka kituo mji huo ambapo hakuna AMANI, kama waziri wetu wa mambo ya nje alivotuthibitisha hivi karibuni ulikuwa sawa? Kwa kauli ya waziri Membe naona ilikuwa janja yao ya kupima UPEPO ili waone SHAMBA lao la bibi litasemaji. Haifichiki pahala ambapo hakuna AMANI (si ya matamko bali kuuana) soka na utaratibu wa kila siku wa jamii HAKUNA. Mtizamo wangu wakubwa hawa wanaweza kuhamishia SHAMBA la BIBI mashindano hayo mwaka huu. Kwanini hawatamki kurekebisha vituo? Yaonekana Khartoum haulipi kama SHAMBA la BIBI. Haya ni maoni yangu, mwenzangu unaonaje?

Viewing all articles
Browse latest Browse all 5565

Trending Articles