Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live

Roberto Mancini has been sacked by Manchester City

Habari ambazo zimezagaa ni kwamba Manchester City wanatarajia kumfukuza kocha wao wa sasa Roberto Mancini. Nafasi yake inatarajiwa kuchukuliwa na kocha wa sasa wa Malaga, Manuel Pellegrini. Jana...

View Article


Kama namuona mbuyu twite...

Nikikumbuka mechi ijayo ya Simba na Yanga,kama namuona Mbuyu Twite akishangilia goli la tatu dakika ya 39 kipindi cha kwanza. ....Kama namuona rage akiondoka uwanjani mapema dakika za mwanzoni kipindi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Live Now Online - Manchester United Championship Parade

Wanajamvi, hivi sasa kuna parade rasmi la kutembeza kombe la Barclay Premiership. Mnaweza kuangalia gwaride hilo live kuanzia Old Trafford. Champions 2013 Parade - Live coverage of United's victory bus...

View Article

Breaking Rumours.

Wenger to leave the position as Arsenal's manager at the end of the season. He's moving upstairs.

View Article

Benifica vs Chelsea

Vp wadau wa sports kesho ndiyo fainal ndogo ya uefa mnaizungumziaje?

View Article


Tetesi: Aron ramsey leo katupia kambani!

Aron Ramsey kafunga goli zuri sana la 4 katika ushindi wa leo wa Arsenal. Swali ni kwamba hilo goli litaleta msiba gani?

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habebeki.... Ronaldinho na Kaka waachwa Timu ya Taifa ya Brazil

Brazil leave out Ronaldinho and Kaka May 14, 2013 By ESPN staff Ronaldinho and Kaka have not been named in Brazil's squad for their Confederations Cup campaign. On Tuesday, Brazil head coach Luiz...

View Article

Yanga vs Simba J'mosi taifa,tukifungwa najing'ata makalio!!!!!

Yes,ntajing'ata makalio kiukweli lol! Kwasababu najua na nina uhakika kwamba ndio siku ya kulipa deni lililodumu kwa mwaka mmoja!

View Article


Ngassa sasa rasmi Yanga,Manji amkabidhi gari la kifahari!!

Mshahara wake kufuru. Atajiunga na Yanga j'mosi jioni zanzibar baada ya mechi ya watani!

View Article


Hivi kwanini wachezaji ulaya wanashikana makalio?

Mimi hapa huwa siwaelewi kabisa!ina maana na boban nae walimshikaga alivyokuwa ulaya? Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

View Article

News Alert: FT:Benifica 1-2 chelse

a dying second goal gave chelsea a win UEFA EUROPA LEAGU. goli la Ivonovic sekunde ya mwisho limeipa ushindi chelse wa kombe la UEFA NDOGO. FT:2-1

View Article

Viva chelsea

From champions legue to europa legue.

View Article

kuondoka kwa ferguson: MAN U subirini vichapo na uhaba wa vikombe kama arsenal.

Jamani Kiukweli babu alikua fundi wa kutisha pamoja na uchelsea wangu ila namkubali sana. sasa ndo ivyo tena Ferg kaachia ngazi tutashuhudia vichapo mfululizo kwa man u next season na uhaba wa vikombe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Michael Carrick "the Unsung Hero" na tuzo yake

Kiungo mkabaji wa manchester united Michael Carrick kuchukua tunzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Klabu,hakika jamaa anastahili kwani amechangia asilimia kubwa ya mafanikio kwa klabu si kwa mwaka huu tu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

David Beckham retires from football

David Beckham has retired from football, bringing an end to a glittering career on the field. Despite the offer of an extended one-year deal at Paris Saint-German, sources in Paris have revealed that...

View Article


Kadi ya Mwaliko kwa wanazi wa Msimbazi

"Special card 4u" * ¡"""""'""''""""""' ¡* * ¡ .+""+...+""+. ¡ * ¡+MWALIKO + ¡* * ¡ "+. .+" ¡* * ¡ "+" ¡* familia ya mr YUSUF MANJ WA DSM Anapenda kukualifu BW, /BI/DR/ PROF. kuwa mtoto wao mpendwa...

View Article

Viwanja vyetu vya michezo viwe na vyoo bora na mazingira safi.

Viwanja vya michezo vilivyopo kote ulimwenguni havina budi kuwa na vyoo bora ikiwa ni pamoja na mazingira ya viwanja hivyo kuwa safi wakati wote. ManyandaHealthy: VIWANJA VYETU VYA MICHEZO VIWE NA VYOO...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simba na Yanga kesho hapatoshi

Nipo hapa uwanja wa taifa nikikata tiketi kwa ajili ya mtanange wa kesho watu ni wengi na cha kushangaza hawaogopi mvua kabisa. Wapo kwenye foleni hadi kieleweke. Mvua ni kali mno. Viva Yanga viva!...

View Article

Nammiss yule shabiki wa YANGA anayelia akifungwa

jamani Simba fanyeni mambo kesho..nimmemmiss yule jamaa wa HUJUMA sijamuona siku nyingi...

View Article

TFF wameficha tiketi za buku tano

Hawa jamaa kama kawaida yao kwnye mechi kubwa wakishaona kuna dalili ya watu wengi wanabania tiketi za kima cha chini. Hapa nilipo karibia kila kituo ninachoenda kukata tiketi ya elfu tano nakuta...

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live