Wayne Rooney has only himself to blame as departure from Manchester United to...
Wayne Rooney has only himself to blame as departure from Manchester United to Chelsea seems inevitable Attached Thumbnails
View ArticleSimba na ura
Wadau mliopo uwanjani mtujuze matokeo ya mechi ya kirafiki kati ya simba na ura
View ArticleMechi ya Kirafiki: Simba SC v URA FC
Nasikia simba katangulia kwa goli moja mliopo taifa matokeo tafadhari na kesho ni Yanga SC wanacheza nao..
View ArticleWachambuzi makini wa soccer toeni mtazamo wenu hapa.
Swali ni fupi tu, ninaomba mtoe maoni yenu kuhusu mchezaji wa Nigeria, Odemwingi. Je, mnazungumziaje uwezo wa mchezaji huyu? Anasifa za kuitwa fundi? "Mimi binafsi" ninamuona wa kawaida. Karibuni.
View ArticleRage ageuka shujaa mkutano wa simba, wafanyika kwa saa moja
Saturday, July 20, 2013 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akifafanua jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa Simba wa kujadili maendeleo ya klabu hiyo ulioanza saa nne kamili na kumalizika saa tano kamili...
View ArticleYanga waliweza,kwanini simba tunashindwa?
Klabu ya simba imekuwa katika mwenendo mbovu katika msimu uliopita na mpaka sasa,tatizo kubwa ni uongozi uliopo madarakani ukiongozwa na mwenyekiti Rage.Amekuwa mtu maneno mengi pasipo tendaji,mapato...
View ArticleADEN RAGE;Ajidhalilisha mkutano wa simba.
Akiwa ktk mkutano wa simba sport clubs..........rage aliamuru mwanachama mmoja ambae ni mwanamama na maarufu hapa nchini ktk tasnia ya uigizaji,atolewe nje kwa madai kuwa ni hasimu wake na hataki...
View ArticleNews Alert: kumbe Jozee Morinho ni mchawi, mshenzi mkubwa kabisa
So is the Chelsea boss now using all his powers of soccers dark arts to unsettle new Manchester United manager David Moyes? On the face of it, no. Instead he seems to be killing the Old Trafford...
View ArticleRage: Serikali imetumia miaka 50 kujenga uwanja wa kisasa mimi nitawezaje...
mwenyekiti wa simba mh. Mbunge Aden Rage alisema hayo jana katika mkutano mkuu wa simba uliodumu kwa saa moja Rage'' serikali yangu ya chama cha mapinduzi imewachukua miaka 50 kujenga uwanja wa kisasa...
View ArticleUpdates Yanga v/s URA.......Taifa leo tar 21.07.2013!!!!!
Twendeni tukaone vifaa vyetu leo,bila kusahau jembe jipya la ushambuliaji kutoka Nigeria na linaloliliwa na Wareno(Ogbu Brendan)
View ArticleHiv tff kwann tusijaribu hili
Hiv kwanin tuendelee kulia na tatizo la uhaba wa washambuliaji wakt inaonekana ni janga la kitaifa! TFF hiv kwann tusifanye umafia wa kuishawish serikali itoe urai kwa wachezaji wa kigen ambao...
View ArticleTimu tajiri zaidi duniani,according to Forbes.zisome hapa
HIZI NDO TIMU TAJIRI ZAIDI DUNIANI KWA MUJIBU WA FORBES MAGAZINE ~ Top in TZ
View ArticleMipango ya kuanzisha timu mpya itayokua kama Azam mkoani Mwanza
Yaani pamoja na uwanja wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 25,000,,mwanza haitakua na timu ligi kuu,najua matajiri wa kanda ya ziwa hawana mpango na soka,ngoja tujikwamue na washikaji alafu tuanzishe...
View ArticleRatiba Ligi Kuu VODACOM
Ratiba ya ligikuu ya VODACOM imetolewa ligi itaanza tarehe 24/08/2013 Young Africans vs Ashanti United- Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam Rhino Ranger Vs Simba - Ali Hassan Mwinyi Tabora Mtibwa vs Azam -...
View ArticleUshabiki Unapozidi Mipaka
Shabiki la MANYOO lililikiona cha moto baada ya kuvamia eneo la mashabiki ya CHELSEA...akavuliwa GAMBA lake
View ArticleNews Alert: Martino aka Tata amrithi Vilanova Barcelona
Geraldo Martino aka Tata ametangazwa hivi punde kuwa Kocha Mpya wa Barcelona. Anamrithi Tito Vilanova..More to come
View ArticleKapombe, Kazimoto hawamo kwenye kikosi cha Stars kilichoelekea Uganda
23 July 2013 | Fred Maingi Tanzania Taifa Stars jets out for Uganda without two of their key players ahead of their return leg of the Africa Nations Championship (CHAN). The duo includes midfielder...
View ArticleKiwango Cha Danny Welbeck.. Duuh
Kama itatokea Siku Welbeck atafikia kiwango cha kina Van Persie... Bas jua kuna siku Mr. Nice atamfikia Diamond..
View ArticleHiki ndicho kikosi cha Taifa stars(first 11)ya kumuua mganda kwao tar...
Leo nimelazimika kupanga kikosi changu ambacho naamini kama kitapangwa hiki,basi mganda lazima akae nyumbani kwao. Kikosi: 1.Juma Kaseja. 2.Erasto Nyoni 3.David Luhende 4.Agrey Morris 5.Kelvin Yondani...
View Article