Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live

Msaada kwenye betting

Niaje wana jf.. mm ni mteja mzuri sana wa mhindi kwenye mambo ya bettin, ila since last week naona mambo hayaendi kabisaa yaaani,, nachana mikeka tuuu... hebu leo tusaidiane kidogo, wataalamu wa mambo...

View Article


Ni kweli TFF Haina pesa ya kusafirishia VIATU vya bure toka UK?

Chanzo- BBC Swahili michezo na wachezaji. Moja wa maboss wa TFF amesikika ktk kipidi cha BBC Swahili michezo na wachezaji. akisema kuwa "TFF haina PESA ya kusafirisha kontena mbili za viatu...

View Article


Wachezaji simba sc ‘wamchoma’ loga kwa rage, lakini

WACHEZAJI wa Simba SC wameahidi kwenda kupigana kufa na kupona kwa ajili ya ushindi dhidi ya Mbeya City Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Kikao...

View Article

best players with no ballon d'or

1.David Beckham 2.Thiery Henry -ongezea..,

View Article

Matokeo waungwana mnaoangalia gem

Msaada wa matokeo kwa wanao angalia arsenal na man

View Article


Ushauri kwa YANGA / Yusuf Manji

Mwenyekiti wangu Yusuf Manji. Salaam aleikhum! Awali ya yote naomba niupongeze uongozi wa Yanga chini ya stewardship yako imara kwa mafanikio mliyoyapata on and off the pitch tangia mlipochaguliwa....

View Article

Man united leo twendeni kifua mbele Emirates

Mashabiki wa Man U hatuna haja ya kuhofia mechi yetu ya leo, kuku wako kwa nini kumfukuza, ataingia bandani nawe kumchukua na kumchinja, supu saaafiiii, leo twendeni kifua mbele na tena kwa kujidai...

View Article

Flop Arsenal

Arsenal in top of table is like an elephant in a top of a tree Nobody knows how he get there but everyone knows that he'll fall..hahahahaha

View Article


Manchester na kukipiga wakati wa Futuhi

Kwa hali inavoendelea pale ngome kongwe (old trafod) ni dhahiri wa shahiri timu yao inaenda uefa ndogo ambayo mechi zake huchezwa Alhamis mida ya sa4 kasoro usiku muda ambao Futuhi wanakua hewani. Je...

View Article


FIFA yamuidhinisha Okwi kuichezea Young African

SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limemuidhinisha mshambuliaji Mganda, Emmanuel Arnold Okwi kuchezea klabu ya Yanga ya Dar es Salaam. Katibu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Celestine...

View Article

Man utd ikicheza uefa champions league msimu ujao,mimi nitatembea uchi

Mara nyini nimekua ni mtu wa kutimiza ahadi zangu ninazoziweka,safari hii ahadi yangu ni kwamba man utd ikicheza uefa mwakani mi nitatembea uchi kwa muda wa siku 3,kutoka ubungo hadi kariakoo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'Kinda' Wa Lazio Adaiwa Kuwa Na Miaka 41

Italian club Lazio have released official documents to prove that 17-year-old midfielder Joseph Minala is not actually 41. Minala caused a stir this week because of his appearance after being one of...

View Article

Ya Okwi yametimia,sasa twendeni Mbeya J'Mosi tukamsaport Mnyama!!!!

Habari ya mjini ni Okwi ruksa kukipiga Yanga,sasa hayo tuyaache maana tayari Okwi ni mali ya Yanga.Sasa twendeni Mbeya tukampe support mzee mwenzetu Simba aka 'nyau'. Maana kama Simba akipigwa na...

View Article


Shaffih Dauda

Habari wana JF. Nikiwa mtanzania na mshabiki mkubwa wa Taifa stars na Manchester United ila leo nikiwa nasikiliza kipindi cha sport extra cha Clouds FM, ndiyo kipindi pekee huwa nasikiliza cha radio...

View Article

Why Wenger still believe on Giroud

Hili ni swali jepesi lakini kwa upande wa pili ni gumu sana.kipindi kabla ya henry hajaondoka arsenal wakiwepo wakina jeans lehman,babtista,clichy,fabrega s wakat mdogo mdogo,song pale ilikuwa tishio...

View Article


WAZEE WA BOXING (NDONGA): Hivi ni chama gani kinasimamia mchezo wa Ngumi...

Wadau wa Michezo hususani wa boxing, hivi ni chama gani kipo kisheria kusimamia mchezo wa ngumi (boxing) Tanzania??? Na pia taratibu ziko vipi katika kuandaa mapambano mbali mbali ya ngumi?? Ni chama...

View Article

Benchi la ufundi la Simba kuingia uwanjani na kumzingira refa sheria inasemaje??

Juzi jumamosi nilikuepo sokoine kushuhudia pambano la mbeya city na simba. Filimbi ya mapumziko refa alivopuliza kipenga cha mapunziko, gafla bench la ufundi la simba na wachezaji walingia uwanjani na...

View Article


Arsenal hii noma

Kwa wapenzi wa Liverpool jana ilikuwa ni kilio na kusaga meno baada ya dk ya 90 kwani ilikuwa ndio mwisho wa safari yao ya FA baada ya kutolewa nishai kwa kubandikwa 2-1...chezea Bunduki weeeeeeeeee

View Article

Azam rejeeni bongo tuwashangilie Yanga

Ni pigo kwa wana rambaramba na majigambo yao mengi oooo sisi ni timu bora ooootutafika mbali, sasa kiko wapi? Njoo muwashangilie Yanga baaana

View Article

Je wajua sheria za ku bet? Katika soka...... Hizi hapa sheria 11

Wapenzi wajf kalibuni tena katika ukurasa hu. Hivi unazijua sheria za ku bet katika soka...... 1. Usi bet kama mshabiki wa timu flani labda kama mshabiki wa arsenal,liver,man u,juve,barc au zinginezo...

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live