Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Viewing all 5565 articles
Browse latest View live

Barcelona kwa Madrid kama Form four.

$
0
0
Ha ha hawa Barca vipi hawana mtaala kabisa messi wapi?

NO PLAN B for Barcelona???

WWE Mkanda mpya

$
0
0
Je mkanda wa WWE mpya na wa zamani upi mkali

News Alert: Fc barcelona 1 vs real madrid 3,decline ya barcelona na lionel messi era

$
0
0
Barcelona imekubali kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya realmadrid,cristiano akitupia goli mbili huku goli lingine likifungwa na beki chipukizi wa ufaransa rafael varane hivyo kuiwezesha real madrid kutinga fainali ya copa del rey.katika mechi hiyo barcelona walionekana kukosa plan b baada ya kubanwa na mbinu za madrid kama ilivyokuwa dhidi ya ac milan hivyo kufanya tmu pinzani zijue wanavyocheza na lionel ameweka rekod ya kutopiga shuti lolote lililo lenga goli kama ilivyokuwa ktk mechi dhid ya ac milan ya italy THIS IS DEFINITELY DECLINE OF BARCELONAS AND MESSI ERA

CR-7 the DEADRIEST attacker in the World

$
0
0
Scoring twice against FC Bakwalona to win 4-2 on aggregate in spanish copa del rey

Ronaldo kaudhihilishia umma kuwa yeye ni bora kuliko messi

$
0
0
Hata hasipopewa tuzo ronaldo ni nouma tena namba anayocheza ni ngumu kutoka winga hadi kuwaforwad cyomchezo,anarekodi ya kufunga magoli magumu tena anajituma kwa juhudi na maarifa je nani kama ronaldo?

News Alert: Borcelona 1 - 3 real madrid

$
0
0
Borcelona 1 - 3 real madrid



hawa barca wameshakuwa ma - zombie sasa nataman tukutane nao tulipize kisasi....

Yanga FC vs Kagera sugar FC leo tar 27-02-2013 taifa!!!!!

$
0
0
Tutatokea katika hotel ya TANSOMA hotel!
Kikosi cha Yanga.
1.Ally Mustafa(Barthez)
2.Mbuyu Twite(maicon)
3.Oscar Joshua
4.Nadir Ally (Cannavaro)
5.Kelvin Yondan(Vidic)
6.Athuman Idd Chuji(Roy keen)
7.Saimon Msuva(Theo Wallcot)
8.Frank Domayo(Iniesta)
9.Jerry Tegete(Mzee wa Uturuki)
10.Didier Kavumbagu(Drogba)
11.Haruna Niyonzima(Fabrigas)

Bench:
1.Saidi Mohamed(De Gea)
2.Juma Abdu
3.David Luhende(Cole)
4.Nizar Alfan(Gaucho)
5.Said Bahanuzi(ronney)
6.Hamisi kiiza(Diego)
7.Nurdin Bakari
Kocha:Ernest Brandts(Fergie)

Zimbabwe Clean Swept by West Indies

$
0
0
Hi!

Another dissapointment for Zim lads, as they lose ODI series against West Indies. Since, their comeback in test cricket, It was expected that they would rise above waters. But now they seems to gone deep underneath. The similar case is for Kenya. Once produced threat for several major countries like INDIA, Aus, Pak and others. Now both Zim and Kenya are easy to bash. The talent seems to arrived at juniour level but doesn't matures as it required on international circuit. The only thing I can say right now is God Bless Africa!

News Alert: Rvp,suarez na bale nani anastahili tuzo ya mchezaji wa bora wa ligi kuu ya england

$
0
0
robin van persie wa man utd,luis suarez wa liverpool na gareth bale wa tottenham nan anastahili tuzo ya mcezaji bora wa ligi kuu ya england msimu huu au PFA player of the year,toa maoni yako

Young Africana Sports Club, Official Logo!

$
0
0
Wakuu naomba kuuliza ipi ni Official Logo ya Club ya Yanga kati ya:

Hii



Na hii.



Naombeni kujuzwa.

star tv acheni unazi!

$
0
0
naangalia taarifa ya habari ya star tv sasa hivi.mtangazaji ametaja matokeo ya mechi za ligi kuu zilizochezwa leo hii lakini mechi ya yanga na kagera haikutajwa kabisa.
STAR TV ACHENI UPUUZI!

SERIE A : Vita ya Wababe wanne

Angry Rafael Benitez says he will leave Chelsea in May 2013

$
0
0


Rafael Benitez has angrily confirmed that he will leave Chelsea in May and described the decision to give him the title "interim manager" as a "massive mistake". He said: "Chelsea gave me the title of interim manager, which is a massive mistake. I'm the manager. The fans are not helping us. At the end of the season I will leave. They don't have to worry about me."

Benitez's defiant post-match interview came after the former Liverpool manager was once again targeted by a section of his club's own supporters, Chelsea beating Middlesbrough 2-0 in the FA Cup fifth round.

The 52-year-old has always been unpopular with some Blues fans since he took over from Champions League-winning manager Roberto Di Matteo in November. A section of the club's supporters were unable to forgive or forget Benitez for his association with Liverpool, and the acrimonious rivalry formed with then Blues boss Jose Mourinho.



Benitez outwitted 'The Special One' in the 2005 and 2006 Champions League semi-finals and the 2006 FA Cup semi-finals, and directed some barbs towards the club. "I have been in charge in football for 26 years, I won the Champions League, I won the Fifa Club World Cup, the FA Cup, the Italian Super Cup, the Spanish league twice, nine trophies - all the trophies you can win at club level," said Benitez after a comfortable victory at the Riverside.

"So this group of fans are not making any favourites with the team and they are singing and wasting time preparing banners. They have to concentrate on supporting the team, that's what they have to do.”

"Every game they continue singing and preparing banners, they are wasting time. What they have to do is support the team. I am a professional and I am doing my job. What I want to do is win every single game for Chelsea."

"I have a top side and a good group of players who work hard and it is a top club, it is not a problem. The problem is a group of people who can say what they want."

Benitez said he would be "the happiest man in the world" were the club to qualify for the Champions League, but questioned the decision to call him “interim manager”. "I have a title. Someone decided the title would be interim. Why? Just in case?" said Benitez.

"Fine, that is your decision. I don't agree, but that is your decision and now everybody has to take responsibility. Everybody is interim because after you there is another one. In this case they didn't have anyone so why did they put interim?”

"I can't change the titles and the perception so it doesn't matter now. What I have to do is be sure that I give 100% every single day. They will know I am trying to do my best. The manager is the manager. One month, three months, seven months - it doesn't matter. I think the reason why the group of fans is not happy is because I was Liverpool manager, we played in the Champions League, massive games, that's it."

http://www.bbc.co.uk/sport/0/football/21611064

Copa Del Rey: Ni Real Madrid vs Atletico Madrid

$
0
0
Baada ya jana kutoka sare ya 2-2 na Sevilla na hivyo kushinda kwa jumla ya mabao 4-3,timu ya Atletico Madrid imeweka miadi ya kupambana na Real Madrid katika fainali ya Kombe la Mfalme la Hispania almaarufu kama Copa Del Rey. Itakuwa ni kati ya Christiano Ronaldo na Radamel Falcao.Kwa ufupi:

Final

Day Date Home team Score/Time Away team
Sat 18/05/13 Real Madrid - Atlético Madrid

Hemed Kivuyo-Napenda anavyoripoti kwa kweli!

$
0
0
Wanajamvi,
kuna mtangazaji wa ITV huwa anaripoti michezo kwa Dar es salaam kwa kweli nimetokea kupenda anavyoripoti kwa kweli. Amefanikiwa kubuni sauti ya kipekee inayomvutia msikilizaji mpaka mtu unakuta huwezi kubanduka kumsikiliza..hasa kwa jinsi anavyochanganya mikogo ya sauti.
Big up sana Kivuyo and keep it up!

Simba anakwenda kuhitimisha ushiriki ama kushiriki?

$
0
0
Timu ya Simba imeondoka asubuhi leo saa 10 alfajiri kuelekea Angola kwa mechi ya marudiano dhidi ya wababe wao LIBOLO itakayofanyika Jumapili kwa Mujibu wa vyanzo vinavyoaminika. Kinacho nisikitisha kwa timu yangu ya simba ni hali ambaye timu inaendanayo, mfano;
  • Simba inaondoka ikiwa haijapata utulivu
  • Matumaini ya mashabiki na wapenzi wa Simba yameshuka
  • Confidence kwa wachezajin ipo chini sana hususani baada ya kupoteza kwenye ligi
  • Timu haina cha kujivunia ikiwa Angola, imefungwa goli 1 mechi ya awali, inacheza ugenini, inanauongozi ulioyumba kwasasa kwa presha za wadau

Mwisho najiuliza hivi kikosi cha Simba kimekwenda kuhitimisha ushiriki ama kushiriki? kunamiujiza yoyote itakayoweza jitokeza hata timu ikaturudisha tena mashabiki uwanja wa Taifa kwa mechi za mwendelezo wa mashindano haya?
:lying:

Hebu tuangalie na hili,Bakhresa,Mengi,Manji na Moise Katumbi

$
0
0
1.Said salim Bhakressa ni mmiliki wa Azam sports club,anakadiriwa kuwa na utajiri unaofikia dola milioni 600 za kimarekani.

2.Regnald Abraham Mengi
Huyu aliwahi kuwa mdhamini wa Dar es Salaam young africans mwanzaoni mwa miaka ya 2000.Huyu anakadiriwa kuwa na utajiri wa dola za kimarekani milioni 280-300.

3.Moise Katumbi
Huyu ni mmiliki na mdhamini wa club ya tp mazembe ya DRC.Anakadiriwa kuwa na utajiri wa dola milioni 60 tu za kimarekani

4.Yusuph Mehboob Manji
Huyu alishawahi kuwa mdhamini mkuu wa yanga na sasa ni ,wemyekiti.Utajiri wake haupo wazi sana lakini inasemekana hakosi kiasi cha dola milioni 350 za kimarekani

Hoja hapo ni,kwa kutazama utajiri wa kila mmoja je mafanikio yao katika soka yanalingana??mafanikio ya yanga,azam na tp mazembe yanafanana ukizingatia utajiriwahusika wakuu katika kuendesha clubs hizo???

Kimsingi wamiliki wa kitanzania hawana commitment na hawapo serious na soka.Siasa ni nyingi sana

Hivi akuna MWINGINE KUWAKILISHA CLOUDS ZAID YA SHAFFI FAUDA,ACHA KUBANA MPWA

$
0
0
Ndugu wapendwa;;;nawiwa kujiuliza hivi clouds fm upande wa michezo ni shaffii dauda pekeee mbona anawabania wenzake hiv;nasema hivi kumaanisha amekuwa akiwasilisha clouds fm sehmu mbali mbali za michezo hasa nje ya dar na tanzania;;majuzi alikuwa ujermani;akaenda south africa;wakicheza timu kubwa yuko taifa leo hii namsikia yuko moshi kwenye kilimarathon hivi hizi perdiem akuna wa kutumia zaiidi ya SHAFII DAUDA;EMBU UONGOZI MUANGALIEN HILI AKUNA ALIEPANGIWA KUPIGA POROJO TU KWENYE REDIO

Hii imekaaje?

$
0
0
Kadi nyekundu kuanza halafu inafuta ya njano!? Ni katika mechi ya leo kati ya Barca na Real Madrid.Ni kadi alizopewa golikipa Victor Valdes.Kisoka hii inaruhusiwa?

FT Real Madrid [2 - 1] Barcelona
6' [1 - 0] K. Benzema
18' [1 - 1] L. Messi
51' S. Ramos
55' J. Alba
58' G. Piqué
62' F. Coentrao
64' T. Alcantara
68' A. Morata
82' [2 - 1] S. Ramos
90' A. Arbeloa A. Iniesta
90' D. Alves
90' V. Valdes
Viewing all 5565 articles
Browse latest View live