Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live

Pale Pesa inapozidi vipaji

Ndio, hakuna namna nyingine unayoweza kuelezea soka la sasa zaidi ya hii, Ni katika kipindi hichi ambapo inawezekana kumuona Luke Shaw akiwa na miaka 19 tu akiuzwa kwa zaidi ya paundi 25, zaidi ya...

View Article


Electronic tickets

Wadau naomba mniambie codes za kununulia tiketi uwanja wa Taifa mechi ya leo simba na coastal

View Article


Sehemu za kufanya mazoezi ya viungo(GYM) hapa Dar

WanaJF nilikuwa nahitaji kujua GYM mbalimbali na mahali zinapopatikana hapa Dar..itakuwa vizuri kama zitaorodheshwa

View Article

Maadili ya watoto wa Kitanzania yanaharibika

wizara ya utamaduni na michezo moja kwa moja inashiriki kuhalibu maadili ya watoto kuruhusu mambo ya fiesta kufanyika hadi usiku pombe kurusiwa na kufanyika kwenye viwanja vya mipira eti kampuni ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Parick Liewig kumrithi Vivik Azam Academy

MFARANSA Patrick Liewig anatarajiwa kuchukua nafasi ya Mhindi, Vivek Nagul aliyeachia ngazi katika akademi yaAzam FC ya Dar es Salaam. Katibu wa Azam FC, Nassor Idrissa Mohamed 'Father’ amesema kwamba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mashindano ya pikipiki: Kiambuu SuperBike

Published on Sep 21, 2014 Top riders in Kenya dominated in all categories, during the third edition of the national motocross championships at the Jamhuri grounds. Elsewhere Kiambu county hosted the...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Football Quotes. Pick ur favourites

1) Eric Cantona (On receiving an 8 months ban after kicking a fan): "When d seagulls follow d trawler, it's because they think that sardines will be thrown into d sea". 2) Ian Holloway (After Ugly win...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balotelli abaguliwa na mashabiki wa Manchester United kwenye mtandao wa Twitter

Mario Balotelli Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi wa Liverpool kutoka Italia Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa mtandao...

View Article


Haya ni mapungufu makubwa kwenye mtandao wa TFF

Wakuu inawezekana labda ni kwa upande wangu.Ningeomba muifungue website ya TFF TFF | Tanzania Football Federation Sehem nimeyogundua haraka matatizo ni hizi TFF | Result Hapo utakuta matokeo mpaka ya...

View Article


Ushauri kwa CCM viwanja vya mpira

mimi nakubali viwanja vya mpira vimejengwa kwa michango ya wananchi kwa sherehe za ccm sasa ili viwanja viboreshwe ni bora muingie ubia makampuni au mwenye uwezo wa kuboresha hivyo viwanja viwanja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Afisa Wa FIFA: Qatar Hawatokuwa Wenyeji Wa Fainali Za Kombe La Dunia 2022

Afisa Wa FIFA: Qatar Hawatokuwa Wenyeji Wa Fainali Za Kombe La Dunia 2022 Afisa wa ngazi za juu za shirikisho la soka duniani FIFA, ametoboa siri na kueleza hadharani mpango wa nchi ya Qatar kuwa...

View Article

Kula Yanga Kulala Simba

Moja ya matukio yaliyosisimua wengi katika mchezo wa Simba na Coastal ni pale mchezaji nguli na Nahodha wa zamani wa Simba Juma K Juma alipotua uwanjani na moja kwa moja kwenda eneo wanalokaa...

View Article

Masele utaiangusha Stand United, inachukiwa kwa ajili yako

Haya yanaonekana sana katika vijiwe vingi wananchi wanaichukia kwa kuifanya iwe timu ya ccm!Kama unataka kuiokoa jitoe na uwashawishi viongozi wa timu wamwangukie RC aibebe kwani anauwezo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kocha Mexime: Nimepandisha ‘CV’ kuifunga Yanga ya Maximo

KOCHA Mkuu wa timu ya Mtibwa Sugar ya Manungu, Morogoro, Mecky Mexime amewashukuru wachezaji wake kwa kuifunga Yanga na hivyo kumfanya apandishe wasifu (CV) wake mbele ya mwalimu wake mkuu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mchezaji afariki dunia huko Uganda kufuatia bao la Frank Lampard

Fahad Musana, ambaye ni shabiki wa kutupwa wa klabu ya soka ya Chelsea, amefariki dunia baada ya mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Frank lampard, kuifungia Manchester City bao la kusawazisha, katika...

View Article


Swali kwa kamati za uchaguzi za vilabu

Naomba kuwauliza hao kamati ya simba na yanga kama katika kipindi cha utawala wa kuongoza akatokea kiongozi amejiuzuru ni muda gani haruhusiwi kugombea tena

View Article

Kulanguliwa Tiketi ni Kujitakia -TFF

Ingawa imetolewa kwa nia nzuri kuhamasisha wadau kununua tiketi mapema kauli hii ya Wambura cum TFF ni kama inashadadia RUSHWA nchini maana implication yake ni kama inabariki walanguzi na kulaani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya ligi kuu tanzania 2014/2015

Hii ni ratiba ya ligi kuu Tanzania bara 2014/2015 Attached Files Copy of VPL-FIXTURE-2014.20151.xls (476.0 KB)

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndanda kileleni Ligi Kuu

NDANDA kuchele! Hiyo ndiyo habari ya mjini baada ya timu hiyo ya Mtwara kukaa kileleni mwa Ligi Kuu Bara, ikiwa ni mara yao ya kwanza tu kucheza ligi hiyo. Ndanda iliifunga Stand United mabao 4-1 na...

View Article

Usajiri bila kufanya vipimo vya afya ni tatizo

nasikitika vilabu vinavyokurupuka kusajiri bila vipimo kwa wachezaji mfano timu yetu ya simba wamemsajiri kiongera anamatatizo ya goti usajiri wa simba wanaangalia tu kwenye yutub hapo kiongozi anakula...

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live