Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bayern Boss Jailed

Muda umefika kwa UEFA kuwatimua Bayern toka UCL lol Hoeness trial: Bayern Munich boss jailed A German court has sentenced Uli Hoeness, president of European football champions Bayern Munich, to three...

View Article


Uharibifu viti taifa: Simba waishangaa TFF kulipa faini !

BAADA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kukubali kulipa sh.milioni 15 kutokana na uharibifu Uwanja wa Taifa uliofanywa na mashabiki wakati wa mechi ya Yanga na Al Alhy ya Misri walipocheza mechi...

View Article


Tottenham vs Arsenal in EPL 16/3/2014

Wadau habarini zenu, leo ebu tujadili mechi ya Tottenham na Arsenal hiyo siku ya jumapili tukiangalia uwezekano wa Tottenham au Arsenal kushinda. Ukirudi nyuma kuangalia mechi zao za wikiendi iliyopita...

View Article

meridian,iplay8casino,m-bet..n.k

habari wakuu hivi kati ya hizi ipi ni nzur na ni simple kupiga mpunga??

View Article

""bahanuzi"" wangu

Mdogo wangu mmoja anaeitwa bahanuzi na ni mpenzi wa simba alianza kutuchekesha jana pale aliposema mnamkaanga bahanuzi bure tu ningekuwa mimi ningewajibu yaani kwenye ligi awanichezeshi alafu wanataka...

View Article


Mtanzania ashinda Semi marathon I de Djibouti

Mtanzania kashika no 3 kwenye Semi Marthon De Djibouti muda huuu No moja imechukuliwa na Djibouti na No2 imechukuliwa na Kenya More information to come soon

View Article

Bodi ya Ligi na TFF ndani ya bifu zito

Taarifa za uhakika ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba kuna hali ya kutoelewana kati ya TFF na bodi ya ligi. Chanzo cha kutokuwepo kwa maelewano mazuri baina ya uongozi wa bodi na TFF ni kutokana na...

View Article

Yanga shift focus on title race

Vodacom Premier League defending Champions,Yanga will look to bounce back against hosts Mtibwa Sugar on Saturday afternoon as they resume their league title quest after being bundled out of the CAF...

View Article


News Alert: Hawa ndo yanga bwana - angalia jeuri ya pesa

Uongozi waklabu bingwa ya Tanzania bara Dar Young Africans umeonyesha mfano wa kuigwa kwaviongozi wengine wa soka nchini siku moja baada ya kurudi kutoka Misriwalipoenda na timu kwenye mchezo dhidi ya...

View Article


Live Update: Mtibwa Sugar vs Yanga SC / Azam FC vs Coastal Union

Ligi kuu Tanzania bara inaendelea tena leo kwa mechi kali mjini Morogoro na kule Chamazi Complex Azam itakuwa uwanja wa nyumbani kutafuta points 3 muhimu dhidi ya wagosi wa kaya Coastal Union , ushindi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari za uhakika: Dozi ya Manure yakamilika

MELWOOD,LIVERPOOL Habari za uhakika nilizozipata hivi punde zinasema kwamba dozi kwa ajili ya timu inayosumbuliwa na maradhi kadhaa ya manure imekamilika,na dozi hiyo itasaidia timu hii kuwa na amani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Timu ya Yanga yapata ajali Mikese

YANGA WANUSURIKA: Wachezaji wa Timu ya Yanga na viongozi wanusurika asubuhi hii kufuatia basi lao kuingia kwenye mtaro Mikese, Morogoro, wote wako salama. Ikumbukwe Yanga jana jioni walishuka katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barcelona line up Rodgers as next boss

Barcelona line up Rodgers as next boss Barcelona are preparing to offer Liverpool boss Brendan Rodgers the chance to replace Gerardo Martino this summer. Eurosport – 16/03/2014 : 10 hours ago...

View Article


Rage Kawageuza Simba Misukule Yake

Nimeangalia hii video namna Rage alivyokuwa anaongea kwa kejeli jana kwenye mkutano wa Simba hadi akafikia ya kuwaita wanachama mambumbumbu na bado wakaishia kupigana wao kwa wao. Kwa mara ya kwanza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kali ya mwaka simba yamnunua mchezaji wake ilomtoa bureeee

KIUNGO anayeweza kucheza nafasi za ulinzi pia, Shomary Kapombe atarejea kwenye kikosi cha Simba SC msimu ujao baada ya makubaliano yaliyofikiwa baina ya klabu hiyo na AS Cannes ya Ufaransa. Habari za...

View Article


Man U itawachukua miaka kumi.

Danny Mills mchezaji wa zamani wa man u na kimataifa amesema kuwa itawachukua miaka 10 kutwaa tena ubingwa

View Article

Kuusu bahanuzi

Kuusu bahanuzi mi sioni tatizo maana kila mtu bahanuzi kuna nini kafanya nini hamjui kuwa kila mtu huwa anabahatisha?

View Article


The king is back "Messi"

huku Barca ikishinda goli saba bila , king wa ukweli kapiga hat trick na kuvunja record na kuweka record mpya kama mfungaji bora wa barca wa muda wote kwa kutupia jumla ya migoli 371 akimpita aliyekuwa...

View Article

Rage awapa makavu wanasimba

NILIIKUTA SIMBA INANUKA MAVI NA MADIRISHA YA MAGUNIA Mwenyekiti wa Simba Ismail Aden Rage amesema ataiacha Simba katika hali nzuri tofauti na alivyokabidhiwa wakati uongozi wake unaingia madarakani....

View Article

Uefa champions chelsea vs galatasalay 18/3/2014

Wadau mech kali ndo hi siyo ile ya madrid na shalk 04. Hapa mo atakuwa anamkaribixa garatasalay tna ikiongonzwa na drogba na snijder huku chels wakiwa na babu wao kikongwe eto na ba. Swali kubwa je nan...

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live