Quantcast
Channel: JamiiForums | The Home of Great Thinkers - Sports
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live
↧

Hivi FIFA ina jeshi?!

Putin bwana! Baada ya Russia kutolewa kwenye michuano ya world cup pale Brazil kwa kupitia sheria za FIFA, Rais Putin amepinga na amesema atatumia jeshi kuhakikisha Russia inabaki mashindanoni.

View Article


Tetesi: Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi Simba, amekwenda kumshitaki Wambura!

NDUMBARO AENDA KUMSHITAKI WAMBURA: Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, Damas Ndumbaro, amepanda ndege kwenda Fifa kumshitaki Michael Wambura!

View Article


Minziro amewaita Chuji na Luhuende ..!

KOCHA JKT RUVU AWAITA CHUJI, LUHENDE: Kocha wa JKT Ruvu, Fred Felix Minziro amewaita kiungo mkabaji, Athumani Idd na David Luhuende kwenye kikosi chake.

View Article

Kesi yakuzuia uchaguzi wa Simba inaendelea mahakamani muda huu

Kesi yakuzuia uchaguzi wa Simba inaendelea mahakamani muda huu, endelea kufuatana nasi na uwe wa kwanza kuhabarika na kesi hii inayosubiriwa kwa hamu na wanamichezo Tanzania

View Article

Hongera

Hongera algeria na nigeria

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kiungo Mbrazil wa Yanga awasili

kiungo mbrazil wa Yanga amewasili tayari habari zaidi zitafuatia Attached Thumbnails  

View Article

News Alert: Kombe la dunia:timu 16 bora

Wakuu salama?kwa wale mashabiki wa mpira nina imani mmepata burudani ya kutosha kwenye mashindano haya tangu yaanze tar.12.June.aidha wengi wetu tumehuzunika kwa kutolewa kwa timu zetu za Afrika katika...

View Article

KESI YA UCHAGUZI SIMBA yatupilwa mbali wawili WAZIMIA!

Mahakama Kuu Dar leo yatupilia mbali ombi la wanachama 3 wa Simba SC la kuzuia uchaguzi mkuu wa klabu hiyo. Wawili wazimia kwa mshtuko. Chanzo:mwananchi

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

News Alert: World cup 2014 : Roadmap to the Final

In world cup 2014 round 16 scheduled to start on Saturday, continental representation is as follows: - AMERICA : Represented by 8 countries EUROPE : Represented by 6 countries AFRICA : Represented by 2...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Hongera Azam FC Kujali Afya za Wachezaji

AZAM FC imelazimika kwenda kumfanyia matibabu ya nyama za paja kiungo Frank Domayo iliyemsajili miezi miwili iliyopita kutoka Yanga SC ya Dar es Salaam. Domayo amekuwa akicheza na majeruhi bila...

View Article

Mtazamo wangu kuhusu kuchemka kwa vigogo wa soka ulaya kwenye kombe la dunia

Sababu za kuchemka vigogo wa soka ulaya spain, italy na england walitoka round ya kwanza world cup.. spain 1.spain walinangania majina badala ya uwezo, maana waliwanangania wachezaji ambayo kasi yao ya...

View Article

News Alert: Nigeria wagoma kufanya mazoezi

Timu ya Nigeria imegoma kufanya mazoezi kukabiliana na ufaransa ktk round ya pili kisa wanadai hawajalipwa posho

View Article

News Alert: Nigeria wagoma kufanya mazoezi

Timu ya Nigeria imegoma kufanya mazoezi kukabiliana na ufaransa ktk round ya pili kisa wanadai hawajalipwa posho.RFA NEW

View Article


Nawaza Mbali....Siku Maximo atakapotimuliwa Jangwani na Yanga!!!

Maximo hatimaye amesaini mkataba mnono wa kuifundisha Yanga kwa miaka miwili. Hongera sana Maximo, binafsi nakutambua vyema na una NIDHAMU kubwa sana ya mpira ambayo wachezaji wetu wengi hawana. Tatizo...

View Article

kaburu:ntatafuta point tatu popote

Ndugu mwans jf kauli hiyo ya kaburu unaitafsiri vp??? Huko nyuma ndugu kaburu amekuwa akishutumiwa kupaanga matokeo kwa kuwahonga wachezaji wa timu pinzani ili wafungishe...sasa nikiangalia shutuma...

View Article


Nimeota maximo kakimbia baada ya miezi mitatu

Naamini ndoto zinatimia kama usipozifanyia kazi wanayanga endeleeni na maombi nimeota jamaa amevurugana. Na uongozi akaitsha press kama jana usiku akaondoka na kenya airways

View Article

Mashaka yangu na ukocha wa Maximo

jamani naombeni wana yanga mje kwa wingi mnitoe hofu yangu pengine yakawa ni mawazo mabaya tu ndo mana nataka wanaomfahamu vizuri Maximo waje watupe data sahihi. Naomba kujua baada ya Maximo kuacha...

View Article


Edo kumwembe unakera!!!

Namuheshimu kama moja ya wachambuzi mahiri wa soka kibongobongo na mwandishi mahiri wa makala lakini hii tabia yake aya kusifia kila kitu cha uzunguni inakera sana..yaan kwa huyu jamaa kila kitu...

View Article

Uruguay na Colombia

Mechi za leo kweli ni kali.Ukiacha hii ya Brazil na Chile iliyoisha muda si mrefu Brazili katokea tundu la Sindano.Colombia ingawa hawajawahi kuchukua kombe hili tokea michuano hii kuanza hapo 1930...

View Article

Timu moja ya Afrika lazima ifike robo fainali

Ikiwa imebaki siku moja kabla ya timu za Afrika hazijatupa karata zao siku ya kesho mimi naamini timu moja kutoka afrika kati ya Nigeria au Algeria lazima watinge robo fainali.. Mungu ibariki Afrika...

View Article
Browsing all 5565 articles
Browse latest View live